settings icon
share icon

Maswali kuhusu Mungu

Je, kuna Mungu? Je, kuna ushahidi wa kuthibitisha kuweko kwa Mungu?

Mungu yu hali gani? Mungu amefanana na nini?

Je, Mungu anathibitika? Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?

Biblia inafundisha nini juu ya utatu?

Je Mungu aliumba maovu?

Je inamaanisha nini kuwa Mungu ni upendo?

Ni kwa nini Mungu anayaruhusu maovu kuwapata watu wazuri?

Ni kwa nini Mungu katika Agano la Kale yu tofauti kuliko Agano Jipya?

Nani alimuumba Mungu? Mungu alitoka wapi?

Je Mungu huzungumza nazi hii leo?

Je! Ni nini maana ya kumcha Mungu?”

Mungu hubadilisha wazo lake?

Je, Mungu anapenda kila mtu au ni Wakristo tu?

Je! Mungu ni wa kiume au kike?

Kwa nini Mungu aliruhusu majanga ya asili, mitetemeko ya ardhi, vimbunga, na sunami?

Ni Mungu / Bibilia iko kijinsia?

Je! Mungu husikia/hujibu maombi ya mwenye dhambi/asiyeamini?

Ni kwa nini Mungu ni Mungu wa wivu?

Je, kuwepo kwa Mungu mmoja kunaweza thibitika?

Je, ni makosa kumswali Mungu?

Kuna mtu yeyote aliyemwona Mungu?

Je, Mungu bado anatenda miujiza?

Je, ni makosa kumkasirikia Mungu?

Je! Kuna mabishano ya kuwepo kwa Mungu?

Je, ni makosa kuhisi kuvunjwa moyo na Mungu?

Nipaswa kuelewaje dhana ya Baba Mungu?

Utukufu wa Mungu ni nini?

Ina maana gani kwamba Mungu ni wa milele?

Je! Mungu ni wa haki?

Ina maana gani kwamba Mungu usio na mwisho?

Mungu anaonekanaje?

Ina maana gani kwamba Mungu ni Mwenye nguvu?

Ina maana gani kwamba Mungu yupo popote?

Ina maana gani kwamba Mungu anajua?

Je, Mungu hutuadhibu tunapofanya dhambi?

Kwa nini Mungu anahitaji imani?

Je! Mungu anatujaribu kutenda dhambi?

Je! Mapenzi ya Mungu ni nini?

Ina maana gani kwamba Mungu ni mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu?

Ikiwa Mungu alijua kwamba Shetani ataasi, kwa nini alimumba?

Je, nini ufunguo wa kumjua Mungu kwa kweli?

Majina gani tofauti ya Mungu na yanamaanisha nini?

Wakati mwingine ni mapenzi ya Mungu kwa waumini kuwa wagonjwa?

Mungu yuko wapi? Mungu yu wakati huumiza?

Mungu ni nani? Mungu ni nini? Tunawezaje kumjua Mungu?

Ni nini ufahamu wa kibiblia wa ghadhabu ya Mungu?

Je! Ni kweli kweli kwamba vitu vyote vinawezekana na Mungu?

Kwa nini Mungu aliamuru uharibifu / mauaji ya Wakanaani, wakiwemo wanawake na watoto?

Je! Mungu anajua baadaye?

Je, Mungu hufanya makosa?

Je, ni makosa kufadhaika au kukasirikia Mungu?

Kwa nini Mungu hutaka, hutafuta, au kuomba kwamba tumwabudu?

Kwa nini Mungu alikuwa wazi sana katika Biblia huku akionekana kuwa siri hii leo?

Je, Mungu ana uwezo wa kutobadilika?

Je! Ninapataje kuondoa picha ya Mungu kuwa wa lazimisho na hasira kutoka kwa akili yangu?

Ina maana gani kwamba Mungu ni nuru?

Ina maana gani kwamba Mungu ni roho?

Je! Mungu hupinga ridhaa?

Ina maana gani kwamba Mungu hupeana?

Je! Upendo wa Mungu ni wa masharti au si wa masharti?

Kwa nini Mungu anaruhusu matendo mazuri kufanyikia watu waovu?

Neema ya Mungu ni nini?

Ina maana gani kumheshimu Mungu?

Je! Mungu ni mtu?

Ina maana gani kumsifu Mungu?

Ina maana gani kuwa mbele ya Mungu?

Mungu ni nini?

Kwa nini nijali kama Mungu yupo?

Kwa nini Mungu anatupenda?

Kwa nini Mungu hutujaribu?

Ni kwa nini Mungu huruhusu kuzaliwa na ulemavu?

Mungu anaweza fanya dhambi? Ikiwa Mungu hawezi sini, je kwa kweli yeye ni mwenye nguvu zote?

Mungu anaweza danganya?

Mkristo anapaswa kuitikia aje sifa za Mungu?

Je! Mungu aliumba dhambi?

Mungu hujali kuhusu mambo madomadogo ambayo hutoke maishani mwetu?

Je! Mungu hukasirika?

Je! Mungu huchukia? Ikiwa Mungu ni upendo, anawezaje kuchukia?

Je! Mungu ananipenda?

Ni kwa nini Mungu anaruhusu kuwe na walemavu/viwete?

Ni kwa nini Mungu anayaruhusu maradhi?

Kunalo jambo ambalo Mungu hawezi kutenda?

Je! Inamaanisha nini kuwa Utatu ni Mungu katika nafsi tatu?

Inaamanisha nini kuwa Mungu ni mwema?

Inamaanisha nini kuwa Mungu ni mwenye haki?

Inaamanisha nini kuwa Mungu yuko pamoja nasi?

Je, inamaanisha nini kwamba Mungu huangalia moyo (I Samweli 16:7)?

Je, ni nini uhusiano kati ya Mungu na wakati?

Je, Kwa nini Mungu anaruhusu wasio na hatia kuteseka?

Je, Mungu ni mkatili?

Je, Mungu ni mwenye enzi ama tuna hiari huru?

Je, ninawezaje kumjua Mungu bora?

Kwanini inaonekana kwamba Mungu hajali kuhusu watoto walio na njaa ulimwenguni?

Mungu anafananaje?

je! Mungu husahau hasa dhambi zetu? Ni namna gani Mungu anayejua mambo yote anaweza kusaau kitu chochote?

Je! Mungu ako na hisia?

Ni kwa nini Mungu anaruhusu udanganyifu?

Ni kwa nini Mungu anaumba watu wakati Anajua kwamba watenda jahanamu/kuzumuni?

Mungu alikuwa anafanya nini kabla aumbe ulimwengu?

Je Mungu ana ucheshi?

Ikiwa Mungu yuko kila mahali, hiyo inamaanisha kuwa yuko kuzimuni?

je! Inamaanisha nini kuwa Mungu hadhihakiwe?

Ni namna gani Mungu ni kimbilio letu?

Je Mungu ana mwili halisi?

Ni kwa nini Mungu Hujieleza kwa njia ya wingi katika Mwanzo 1:26 na 3:22?

Mungu angeweza kuumba mwamba mzito sana ambao hangeweza kuuinua?

Je! Inamaanisha nini kuwa Mungu hufanya mambo njia ya ajabu?

Mungu ni mkubwa aje?

Je! Mungu aliumbwa na mwanadamu?

Kwa kuwa Mungu sio wa kiume, Je tunapaswa kuacha kutumia pronauni za kiume tunaporejelea Mungu?

Ni kwa nini Mungu anawaruhusu wat kumdhihaki?

Ni mambo gani muhimu ya kuelewa kuhusu maumbile/asili ya Mungu?

Kwanini kuna vurumai nyingi katika Agano la Kale?

Je, nini asili ya mafundisho ya Utatu?

Je, inamaanisha nini kutafuta uso wa Mungu?

Kwa nini kumtafuta Mungu ni muhimu?

Je, kwa nini Mungu huuliza mwaswali ikiwa Yeye anajua kila kitu?



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Maswali kuhusu Mungu
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries