settings icon
share icon

Utafiti wa Agano la Kale

Muhtasari mzuri / Utafiti wa Agano la Kale ni vigumu kuufikia. Biblia ina maagano mawili, vitabu 66 tofauti, sura 1189, mistari 31173, na maneno 773,692. Vitabu mbalimbali vya Biblia vinaguzia mada mbalimbali na vilikusudiwa kwa watu tofauti tofauti. Vitabu vya Biblia viliandikwa na takriban watu 40 mbalimbali kwa kipindi cha takriban miaka 1500. Muhtasari / Utafiti wa Agano la Kale nzima basi ni kazi/shughuli kubwa.

Wakati huo huo, Roho Mtakatifu alikuwa "msukumo" mwandishi wa Biblia. Mungu "alipumua " Neno lake na kutumika manabii na mitume kuandika Neno lake chini (2 Timotheo 3: 16-17; 2 Petro 1:21). Zaidi ya hayo, wale wote ambao wameweka imani yao katika Yesu Kristo wana Roho Mtakatifu aishiye ndani yao (Warumi 8: 9; 1 Wakorintho 12:13). Roho Mtakatifu anapenda kutusaidia kuelewa Biblia (1 Wakorintho 2: 10-16).

Madhumuni yetu ya kutoa muhtasari wa Bibilia / sehemu ya utafiti ni kutoa msingi dhabiti wa kila kitabu cha Biblia. Kwa kila kitabu cha Biblia, mwandishi, tarehe ya kuandikwa, madhumuni ya kuandikwa, mistari muhimu, na muhtasari mfupi utatolewa. Tuna matumaini ya dhati kwamba muhtasari wetu wa Bibilia / sehemu ya utafiti utakusaidia kuelewa Biblia vizuri, na utakutia moyo ujifunze Biblia kwa undani zaidi.

Kitabu cha Mwanzo

Kitabu cha Kutoka

Kitabu cha Mambo ya Walawi

Kitabu cha Hesabu

Kitabu cha Kumbukumbu La Torati

Kitabu cha Yoshua

Kitabu cha Waamuzi

Kitabu cha Ruthu

Kitabu cha 1 Samweli

Kitabu cha 2 Samweli

Kitabu cha 1 Wafalme

Kitabu cha 2 Wafalme

Kitabu cha 1 Mambo ya Nyakati

Kitabu cha 2 Mambo ya Nyakati

Kitabu cha Ezra

Kitabu cha Nehemia

Kitabu cha Esta

Kitabu cha Ayubu

Kitabu cha Zaburi

Kitabu cha Mithali

Kitabu cha Mhubiri

Wimbo wa Sulemani

Kitabu cha Isaya

Kitabu cha Yeremia

Kitabu cha Maombolezo

Kitabu cha Ezekieli

Kitabu cha Danieli

Kitabu cha Hosea

Kitabu cha Yoeli

Kitabu cha Amosi

Kitabu cha Obadia

Kitabu cha Yona

Kitabu cha Mika

Kitabu cha Nahumu

Kitabu cha Habakuki

Kitabu cha Sefania

Kitabu cha Hagai

Kitabu cha Zekaria

Kitabu cha Malaki

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Utafiti wa Agano la Kale
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries