settings icon
share icon
Swali

Je, Biblia limeharibika, ilibadilika, mwisho, marekebisho, au kuchezewa?

Jibu


vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kutokea takriban 1400 BC (Kabla Yesu azaliwe) hadi 400 BC. Vitabu vya Agano Jipya yaliandikwa kutoka wastani wa AD 40 hadi AD 90. Hivyo, popote kati ya 3400-1900 miaka imepita tangu kitabu cha Biblia kiliandikwa. Katika wakati huu, hati za awali zimepotea. Kuna uwezekano mkubwa sana sisiwepo. Pia wakati huu, vitabu vya Biblia vilikuwa vimenakiliwa tena na tena. Nakala ya nakala ya nakala zimechapishwa. Kwa mtazamo huu, tunaweza bado kuiamini Biblia?

Wakati Mungu awali aliwaongoza watu kuliandika neno lake, ilikuwa ni pumzi ya Mungu na isiyo na makosa (2 Timotheo 3:16-17; Yohana 17:17). Hakuna mahali Biblia inatumika nakala hizi za kitabu cha kwanza. Kwa kina kama walimu wa Sheria waliokuwa pamoja wametoa nakala zingine za maandiko, hakuna mtu mkamilifu. Kwa matokeo, tofauti ndogo ndogo zikajibuka katika nakala mbalimbali za maandiko. Yote ya maelfu ya Kigiriki na Kiebrania ambazo ziko hii leo, hamna nakala mbili ambazo zinafanana hadi pale vyombo vya habari vya kuchapa viligunduliwa katika mwaka wa 1500 AD.

Hata hivyo, hati oyoe ya msomi asiye na ubaguzi wowote atakubaliana kwamba Biblia imehifadhiwa vizuri sana katika karne zimepita. Nakala ya Biblia ya karne ya 14 AD ii karibu sana kwa maudhui ya nakala kutoka karne ya 3 AD. Wakati nakala za bahari ya Shamu ziligunduliwa, wasomi walishangaa kwa kuona jinsi zimekaribiana na nakala nyingine ya kale ya Agano la Kale, hata kama nakala za Bahari ya Shamu zilikua za miaka Zaidi ya kitu chochote awali kugunduliwa. Hata wengi wa wakosoaji wa Biblia hukubali kwamba Biblia imevukishwa zaidi ya karne mbali kwa usahihi zaidi kuliko hati nyingine yoyote ya kale.

Hakuna kabisa ushahidi kwamba Biblia imeandikwa upya, kudurusiwa, au kuchezewa kwa namna yoyote ya utaratibu. Kiasi kikubwa cha kupita Biblia inafanya kuwa rahisi kutambua majaribio yoyote ya kupotosha neno la Mungu. Hakuna mafundisho kuu ya Biblia ambayo yametiwa shaka kama matokeo ya tofauti ndogo ndogo ambazo zipo kati ya nakala za asili.

Tena, swali ni, tunaweza kuiamini Biblia? Kamwe! Mungu amehifadhi neno lake licha ya mapungufu yasiyo kusudiwa na mashambulizi ya kukusudia ya binadamu. Tunaweza kuwa na uhakika mkubwa kwamba Biblia tunayo hii leo ni Biblia hiyo hiyo iliandikwa. Biblia ni neno la Mungu, na tunaweza kuwa na imani nayo (2 Timotheo 3:16, Mathayo 5:18).

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Je, Biblia limeharibika, ilibadilika, mwisho, marekebisho, au kuchezewa?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries