settings icon
share icon
Swali

Bibilia ina yapi kuhusu kushukuru / shukurani?

Jibu


Kutoa shukurani ni maudhui kawaida katika Maandiko. Wathesalonike wa kwanza 5: 16-18 inanukuu, "Furahini siku zote; ombeni bila kukoma; shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu."Mlishika hayo?Toa shukurani katika kila jambo.Kutoa shukurani inafaa kuwa ndani yetu kama kipengele cha maisha,inafaa kutiririka kupitia mtima wetu na pia mdomo.

Kutazama aya hizi kwa maakini,tunafahamu mboa kutoa shukurani na namna ya kutoa shukurani kwa mazingira mbalimbali.

Zaburi 136: 1 inanukuu, "Mshukuru Bwana, kwa kuwa ni mwema. Kwa maana fadhili zake ni za milele."Kuna maana ya kutoa shukurani:uzuri wa milele wa Mungu na pia mapenzi yake ya daima. Tufahamupo jinsi tulivyo na kasoro na kujua kwamb,kando na Mungu ni mauti (Yohana 10:10, Warumi 7: 5), jukumu letu la mwanzo ni kutoa shukurani kwa uhai anaotujalia.

Zaburi 30 inamsifu Mungu sababu ya rehema zake. Daudi anasema, "Ee Bwana,nitakutukuza kwa maana umeniinua, wala hakuwafurahisha adui zangu juu yangu. Ee Bwana Mungu wangu, nalikulilia ukaniponya.Umeniinua nafsi yangu, Ee Bwana,kutoka kuzimu....uligeuza matanga yangu kuwa machezo;ulinivua gunia ukanivika furaha.Ili utukufu wangu ukusifu wala usinyamaze.Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele "(Zaburi 30: 1-12). Daudi anamtukuza Mungu kwa maana ya matukio ya kawaida. Zaburi inamkumbusha Mungu ukuu wake wa kitambo na pia kumtukuza.Mazoea ya Mungu ni ya kutisha na kuwa anapenda utukufu na iyo tu yatosha.

Kuna mahali kwingine kunaonyesha kutoa utukufu katika magumu. Zaburi 28, hudhihirisha shida ya Daudi. Inaonyesha kulio kwa Mungu kwa ukuu wake, ulinzi na haki. Daudi akishamaliza kuomboleza ananakiri, "Na ahimidiwe Bwana ashukuru, maana amesikia sauti ya dua yangu.Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu; moyo wangu umemtumainia name nimesaidiwa.Basi moyo wangu unasha ngilia na kwa wimbo wangu nitamshukuru"(Zaburi 28: 6-7). Kati ya taabu, Daudi hajamsahau Mungu, maanake kumtumikia na kumtegemea,anamtukuza. Ayubu alimiliki haja ya sifa,hata ilipomaanisha kupoteza uhai: "Bwana alitoa na Bwana ametwaa; Jina la Bwana na libarikiwe "(Ayubu 1:21).

Sehemu kadhaa katika Agano Jipya linaonyesha kutoa shukurani. Paulo alipata shida bali akanukuu "Ila Mungu ashukuriwe anayetushangiliza daima katika Kristo,na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu." (2 Wakorintho 2:14).Anayeandika Waebrania anakiri, "Basi,kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa na mwe na neema ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza,pamoja na unyenyekevu na kicho." (Waebrania 12:28). Petro anadhihirisha maana ya kutukuza, "mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna mbalimbali" ili kwamba kujaribiwa kwa Imani yenu ambayo inathamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo ijapokuwa hiyo hujaribiwa katika kufuniliwa kwake Yesu Kristo" (1 Petro 1): 6-7).

Wanadamu wa Mungu ni wa kutukuza,maanake wanafahamu kipimo walichokipata. Kati ya matokeo ya nyakati za mwisho ni kupungikiwa kutukuza na kutoa shukurani,inavyodokezwa katika 2 Timotheo 3: 2. Wasio na "shukurani"

Tunafaa kufanya kutukuza maana Mungu anafaa utukufu wetu. Jukumu letu kumshukuru, "kila kitolewacho kilicho kamili"anapeana Mwenyewe (Yakobo 1:17). Tunapotukuza, jukumu kuu inatoa matakwa yakujipenda,na kuumia katika wakati uliopo.Kufanya kutukuzahutujuza kuwa Mungu anaongoza.Kutukuza ni muhimu,maisha na tunasitahili. Inatujuza tulivyo wa Muumbaji,na tulivyojulishwa upendo thabiti(Waefeso 1: 3). Tumejariwa uzima (Yohana 10:10), na tele.

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Bibilia ina yapi kuhusu kushukuru / shukurani?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries