settings icon
share icon
Swali

Ni nini nadharia ya mchoro wa kiakili?

Jibu


Nadharia ya mchoro wa kiakili wasema kwamba matendo ya akili ni yana haja kueleza yenyewe ni magumu, ujumbe ambao umejaa elimu ya viumbe (baolojia) na hizi vitukio vinaweza tambulika. Baadhi ya sehemu sinaharibu lile elezo la Darwin la kijumla, kwa sababu zinaonekana kuwa zilikuwa zimepangwa hivyo. Kwa vile mchoro njia nyingine walazimisha mchoraji wa hali ya juu, umbo la mchoro umetajwa kama thibitisho kwa mchoraji. Kuna mijadala mitatu ya kimsingi katika nadharia ya uchoraji wa kiakili: 1) majikwezo yasiyopunguka, 2) majikweo halisi, na 3) kanuni ya ufanano wa mwanadamu.

Majikweo yasiyopunguzwa unafafanuliwa kama “….mfumo wa pekee ambao umetengezwa na sehemu nyingi ambazo zinaingiliana ambazo zachangia katika kufanya kazi, mahali ambapo ikiwa sehemu moja itatolewa inafanya mfumo wote kukosa kufanya kazi ipasavyo.” Kwa ufupi, maisha ndani yake yametengenezwa kwa sehemu ambazo zimewekwa pamoja ambazo zinategemeana zenyewe ili zitumike. Ubadilisho wa ghafula unaweza pelekea kuchipuka kwa sehemu nyingine, bali hauwezi wajibika kwa mfumo wowote unaongezeka kwa ajili ya sehemu za mfumo kufanya kazi. Kwa mfano chijo la mwanadamu kwa kawaida ni la maana sana. Bila mbooni mizipa ya macho na sehemu ya picha zikihamishwa kwa ghafula, jicho lizilo kamilika litakuwa halitumiki vilivyo kwa mudhumini ya kuishi kwa kiungo na kwa hivyo litangólewa kupitia kwa mfumo wa kuchaguliwa kawaida. Jicho si mtindo unatumika ikiwa sehemu zake zote hazifanyi kazi vizuri kwa wakati mmoja.

Mchanganyiko ambao ni wa dhahiri ni dhana kuwa, kwa vile mitindo iliyochanganywa kwa udhahiri inaweza patikana katika viumbehai, baadhi ya mitindo ya mwelekezo lazime iwe imekwisha wajibika kwa asili yao. Mchanganyiko dhahiri wajadili kuwa ni vigumu kwa mitindo tata kuanzishwa kupitia kwa mpango usio na utaratibu. Kwa mfano, nyumba ambayo imejazwa nyani 100 na tarakilishi 100 hatimaye zinaweza toa maneno machache, au pengine hata sentensi, lakini kwamwe haitawai toa mhigizaji. Ni kiwango gani maisha ya viumbe vya uhai ni ya utata kuliko mhigizaji wa Shakespeare?

Kanuni ya kiuanadamu yasema kuwa ulimwengu na mbingu zote “simeunganishwa” ilisiwezeshe uhai katika nchi. Kama uwiano wa elementi katika hewa ya ardhi ingebadilishwa kidogo, viumbe wengi hawatakuwemo. Kama ardhi ingekuwa maili chache au mbali na jua, viumbe wengi wangeishi. Kuwepo kwa mchipuko wa maisha katika ardhi wahitaji vitu vingi totafuti ili uwe kamilifu kwa kiwango kwamba itakuwa vigumu mno geugeu kuwepo kupitia namna ghafula, na matukio yasiyo ongozwa.

Pindi tu nadhari ya mchoro wa akili hauchukulii hivi hivi kutambua chanzo cha busara ( kama ni Mungu au UFOs au kitu kingine), ubusara wa kwanza wa kimpango wananadharia ni wasiomwamini Mungu. Wanauona kuonekana kwa mtindo ambao wafutilia mbali ulimwengu wa kibaolojia kama thibitisho la mtindo, lakini hawako tayari kumtambua Mungu muumba. Wanajaribu kufasiri orodha kama thibitisho kwamba nchi ilifanywa na mikimbio mifupi ya viumbe visivyo vya dunia (vigeni). Ingawa hawangazii asili ya viumbe vigeni pia, kwa hivyo wameenda nyuma kwa jadili la asili bila kuwa na jibu sahihi.

Nadharia ya hekima ya mpango sio uumbaji wa kibibilia. Kuna utafauti muimu kati ya misimamo hiyo miwili. Uumbaji wa kibibilia unaanza ukiwa na tamatisho kuwa matukio ya kibibilia ya uumbaji ni ya kuaminika na ni yako sawa hayana dosari, kwamba maisha katika dunia yalipangwa na agenti busara –Mungu. Kwa hivyo wanatafuta vithibitisho kutoka kwa maumbile ili waunge mkono tamatisho hili. Uumbaji wa kiajbu, wananadharia wanaanza na ulimwengu wa kawaida na wanafikia tamatisho kuwa uhai katika dunia ulipangwa na mwakilishi busara (yeyote yole atakaye kuwa).

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Ni nini nadharia ya mchoro wa kiakili?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries