settings icon
share icon
Swali

Je Yesu alienda kuzumuni kati ya kifo chake na kufufuka?

Jibu


Kuna kuchanganyikiwa kwingi kuhusu swali hili. Mwelekeo watoka kwa mafunzo ya mitume kumi na wawili ambao wasema, “alishuka kuzumuni.” Kuna maandiko machache ambayo kulingana na vile yametafsiriwa yanaelezea juu ya Yesu kuenda kuzimuni. Kwa kulichanganua swala hili, ni muimu kwanza kuelewa chenye Bibilia inafunza kuusu ulumwengu wa wafu.

Katika bibilia ya Kiibrania neno ambalo limetumika kuelezea ulimwengu wa wafu ni sheol. Linamaanisha “mahali pa wafu” au “mahali pa roho/mioyo iliyotuacha” Neno la kigiriki katika Agano Jipiya limetumika kusimamia ni “kuzumuni” ambalo pia lamaanisha “mahali pa wafu” maandiko mengine katika Agano Jipiya yanaonyesha kuwa “kuzumu” ni mahali pa muda, ambapo roho zinawekwa zinapongoja ufufuo na hukumu ya mwisho. Ufunuo 20:11-15 unatupa tofauti halisi kati ya maneno hayo mawili kifungoni (sheol) na kuzumuni (hades). Jehanamu (ziwa la moto) ni mahali pa kudumu na hukumu ya mwisho kwa wanaoangamia. Kuzimuni ni mahali pa muda. Kwa hivyo, la! hasha Yesu hakuenda kuzumuni kwa sababu kuzumuni ni ulimwengu ujao ndio neno hilo litakapokuwa likitumika baada ya kiti cheupe cha hukumu (Ufunuo 20:11-15).

Kuzumu ni ulimwengu umegawa mara mbili (Mathayo 11:23, 16:18; Luka10:15, 16:23; Matendo ya Mitume 2:27-31), mahali pa watakaokolewa na wanao angamia. Mahali pa watakaokolewa paliitwa “paradiso” na ni “kifua cha Abrahamu”. Mahali pa watakaokolewa na watakaoangamia pametenganishwa na “shimo kubwa” (Luka 16:26). Wakati Yesu alipaa mbunguni, aliwachukua wa hudumu wa paradiso waliokuwa waumini pamoja naye kwenda mbunguni (Waefeso 4:8-10). Mahali pa kuzumuni hapakubadilishwa. Wafu wote wasioamini walienda huko wakingoja hukumu yao ya mwhisho ambayo inakuja. Je Yesu alienda kifungoni mahali roho zilikuwa zikingoja hukumu?. Ndio kulingana na (Waefeso 4:8-10 na 1Petero 3:18-20).

Baadhi ya wasiwasi imechibuka kutoka kwa maandiko kama Zaburi 16:10-11 vile imetafsiriwa kwa Bibilia ya Mfalme Yakobo (King James version), “Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu. Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako ziko furaha tele; Na katika mkono wako wa kuume Mna mema ya milele”. “Kuzumu” is tafsiri sahihi ya aya hizi. Tafsiri kamili itakuwa “kaburini”, Yesu alimwambia mwizi aliyekuwa kando yake msalabani “Leo hivi utakuwa pamoja name peponi”. Mwili wa Yesu ulikuwa kaburini lakini roho yake ikaenda paradiso. Ndipo akatoa watakatifu wote waliokufa toka paradiso na kuwapeleka mbinguni. Naamu Bibilia zingine zaweza tafsiri au waliotafsiri huenda walikosea mahali vile neno la kigiriki la “mahali pa kuzumuni”, na “kifungoni”

Wengine wako na mtazamo kwamba Yesu alienda “kifungoni” ama “sehemu ya matezo” ya kuzumuni ili atezwe zaidi kwa ajili ya dhambi zetu. Hili wazo kamwe si la kibibilia. Ni kifo cha Yesu msalabani na kutezwa kwake tulipata wokovu. Ni kupitia kwa damu yake iliomwagika ambayo kwayo tulitakazika kutoka kwa dhambi zetu (1Yohana 1:7-9). Vile alivyo angikwa msalabani, aliubeba mzigo wa dhambi wa mwanadamu juu ya mabega yake. Alifanyika mwenye dhambi kwa ajili yetu; “Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye” (2Wakorintho5:21). Kuwepo kwa tuhuma ya dhambi kunatufanya tuelewe jinsi Yesu alitezeka katika shamba la Gethesemane na kikombe cha dhambi ambacho kulimwagwa juu yake msalabani.

Wakati Yesu alilia msalabani, “Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha?” (Mathayo 27:46), ni wakati huo alitenganishwa na Baba kwa sababu ya dhambi zetu zilizotunikwa kwake. Wakati alikata roho, “Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu” (Luka 23:46). Matezo yake kwa ajili yetu yalimazika. Roho yake ilienda paradiso/peponi. Yesu hakuenda kuzumuni/kifungoni. Matezo ya Yesu yaliisha wakati alikufa. mshahara wa dhambi ulilibwa. Hapo ndipo alingoja kufufuliwa kwa mwili wake na urejesho wa utukufu wake katika kupaa kwake mbinguni. Je Yesu alienda kuzumuni? La hasha. Je Yesu alienda sehemu ya kifungoni? Naamu/ndio.

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Je Yesu alienda kuzumuni kati ya kifo chake na kufufuka?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries