settings icon
share icon
Swali

Je, ni nini maana ya Mkataba wa Theolojia na ni wa kibiblia?

Jibu


Mkataba wa Theolojia si 'theolojia' kwa namna ya kuweka utaratibu wa mafundisho kama mfumo wa kutafsiri maandiko. Huwa mara nyingi umelinganishwa na mfumo mwingine tafsiri kwa maandiko uitwayo 'Theolojia ya mgagwanyo, ' au 'Mgwaganyiko.’ mgwaganyiko kwa sasa ndio naman maarufu ya kutafsiri maandiko kiunjilisiti Amerikani , na imekuwa hivyo tangu nusu ya mwisho ya karne ya 19 hadi karne ya 21. Theolojia- Mkataba, hata hivyo, bado umebaki kuwa wingi wa ripoti ya Waprotestanti tangu wakati wa mageuzi, na ni mfumo unapendwa na wale wa mageuzi au ushawishi wa Kicalvin.

Huku theolojia ya mgawo inaona maandiko kuwa yanajufunua katika hatua mfululizo (hasa) ‘migawo saba ( 'mgawo' unaweza kuelezwa kuwa namna ambayo Mungu aliyotumia kushughulika mwanadamu na viumbe wakati wa muda huo katika historia ya ukombozi ),Theolojia- Mkataba inaonekana katika maandiko kupitia kwa mtazamo wa agano. Theolojia-Mkataba imefafanua maagano mawili kuu: ahadi ya kazi, na agano la neema. Agano la tatu wakati mwingine lilitajwa; yaani, ahadi ya ukombozi, ambayo kimantiki hutangulia maagano mawili. Sisi hujadili ahadi hizi kwa zamu. Jambo muhimu kukumbuka ni kwamba maagano yote mbalimbali yaliyoelezwa katika maandiko (kwa mfano, ahadi aliyoifanya na Nuhu, Ibrahimu, Musa , Daudi na Agano Jipya) ni za shinda eidha ahadi ya kazi na agano la neema.

Hebu tuanze kuchunguza maagano mbalimbali yameelezwa kwa kina katika theolojia-Mkataba tukianza na ahadi ya ukombozi, ambayo kimantiki hutangulia maagano hayo mawili. Kwa mujibu wa theolojia-Mkataba, agano la kikazi lililofanywa kati ya watu watatu wa utatu kunyakua, upatanisho kwa ajili ya, na kuokoa kundi fulani la watu kwa ajili ya wokovu na uzima wa milele. Kama mchungaji mmoja wa kidini maarufu sana amesema, katika agano la ukombozi, "Baba humchagulia mwanawe bibi." Huku theolojia ahadi haijatajwa wazi katika maandiko, maandiko yanataja kwa wazi wazi asili ya milele ya mpango wa wokovu (Waefeso 1:3-14; 3:11; 2 Wathesalonike 2:13; 2 Timotheo 1:9; Yakobo 2:5; 1 Petro 1:2). Isitoshe, Yesu mara nyingi alilejelea Kazi yake kuwa anafanya mapenzi ya Baba (Yohana 5:3, 43; 6:38-40; 17:4-12 ). Kuwa wokovu wa wateule lilikuwa kusudi la Mungu tangu mwanzo wa uumbaji, hauwezi tiliwa shaka; ahadi agano utaratibisha mpango huu wa milele katika lugha ya agano.

Kutokana na mtazamowa kihistoria wa ukombozi, ahadi ya kazi ilile ya kwanza tunaona katika maandiko. Wakati Mungu alipoumba mwanadamu, akamweka katika bustani ya Edeni na kumpa amri moja rahisi: "BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika."(Mwanzo 2:16-17). Tunaweza kuona lugha ya Agano ndio inarejelewa katika amri hii. Mungu alimweka Adam katika bustani na akamwahidi uzima wa milele na kunawiri kwake pindi alivyozidi kuwa mtiifu kwa amri za Mungu. Maisha ni malipo kwa ajili ya utii na kifo ni adhabu kwa kutotii. Hii ni lugha ya agano.

Baadhi ya wasomi huona katika agano la kazi kama umbo la kile kinachoitwa agano la kusultani baraka. Katika aina hii ya maagano, sultani (yaani, mfalme au mtawala) bila kutoa masharti ya agano kwa baraka (yaani, somo hili). Sultani itatoa baraka na ulinzi katika kurudi kwa ajili ya kodi ya kibaraka. Katika kesi ya ahadi ya kazi, Mungu (sultani/mtawala) ahadi ya uzima wa milele na baraka ya mwanadamu ( kibaraka kuwakilishwa na Adamu kama kichwa cha jamii ya binadamu), katika kurudi kwa ajili ya utii wa mtu kwa masharti ya agano (yaani, wala kula matunda ya mti). Tunaona muundo sawa katika utoaji wa Agano la Kale kwa njia ya Musa kwa Israeli. Israeli alifanya agano na Mungu pale Sinai. Mungu atatoa Nchi ya Ahadi, upya ' Edeni ' ("nchi ijaayo maziwa na asali"), na baraka na ulinzi wake dhidi ya maadui wote katika kurudi kwa ajili ya utii wa Israeli kwa masharti ya agano. Adhabu kwa kukiuka agano ilikuwa ni kufukuzwa kutoka nchi (ambayo ilitokea katika ushindi wa ufalme wa kaskazini katika mwaka wa 722 BC na ufalme wa Kusini mwaka wa 586 BC).

Wakati Adamu alishindwa kutunza ahadi ya kazi, Mungu aliweka ahadi ya tatu, iitwayo agano la neema. Katika ahadi ya neema, Mungu kwa uhuru anawapa wenye dhambi (wale ambao hushindwa kuishi hadi agano la kazi) uzima wa milele kwa njia ya imani katika Yesu Kristo. Tunaona utoaji wa agano la neema baada ya kuanguka wakati Mungu unatabiri kuhusu "uzao wa mwanamke" katika Mwanzo 3:15. Wakati agano la kazi likiwa ni la masharti na ahadi baraka kwa ajili ya utii na laana kwa ajili ya uovu, agano la neema si la masharti na na imepeanwa bure kwa msingi wa neema ya Mungu. Agano la neema huchukua sura ya mikataba ya kale ya ruzuku ya ardhi, ambayo kwayo mfalme atatoa ardhi kwa mpokeaji kama zawadi, bila uhusian wowote kuwepo. Mtu anaweza kusema kwamba imani ni hali ya agano la neema. Kuna mawaidha mengi katika Biblia kwa wapokeaji wa neema ya Mungu bila masharti kubaki waaminifu hadi mwisho, kwa maana halisi, kudumisha imani ni hali ya agano la neema. Lakini Biblia inafundisha wazi kwamba hata imani ya kuokoa ni zawadi ya neema kutoka kwa Mungu (Waefeso 2:8-9).

Tunaona agano la neema likijitokeza wazi katika maagano mbalimbali ya ahadi ambayo Mungu anafanya na watu binafsi bila masharti katika Biblia. Ahadi ya Mungu alifanya na Ibrahimu (kuwa Mungu wake na kwa Ibrahimu na kizazi chake kuwa watu wake) ni upanuzi wa agano la neema. Agano na Daudi (kwamba ukoo wa Daudi daima utatawala kama mfalme) pia ni upanuzi wa agano la neema. Hatimaye, Mkataba wa Agano Jipya ni dhihirisho la mwisho la agano la neema Mungu anapoandika sheria yake katika mioyo yetu na kabisa kutusamehe dhambi zetu. Jambo moja ambalo ni lazima liwe dhahiri tunapoangalia haya maagano mbalimbali ya Agano la Kale ni kwamba yote yanapata timizo lao katika Yesu Kristo. Ahadi ya Ibrahamu ya kubariki mataifa yote ilitimia katika Kristo. Ufalme wa Kidaudi ambao milele utatawala juu ya watu wa Mungu pia ulitimia katika Kristo, na Mkataba wa Agano Jipya ni wazi ulitimia katika Kristo. Hata katika Agano la Kale kuna mwanga wa agano la neema kama dhabihu na mila zote za Agano la Kale hulenga mbele kwa kazi ya Kristo ya ukombozi, kuhani wetu Mkuu (Waebrania 8-10). Hii ndiyo sababu Yesu anaweza kusema katika injili yake Mlimani kwamba alikuja si kukomesha Sheria, bali kwa kuitimiza (Mathayo 5:17).

Tunaona pia katika agano la neema likiwa katika kazi katika Agano la Kale wakati Mungu anawasamehe watu wake dhidi ya hukumu ya dhambi zao za mara kwa mara waliostahili. Hata kama masharti ya sheria ya Musa (matumizi ya agani la kikazi) aliahidi hukumu ya Mungu juu ya Israeli kwa sababu ya uasi wao kwa amri zake, Mungu anawahudumia watu wake wa agano kwa uvumilivu. Hii kawaida inaambatana na msemo "Mungu alikumbuka agano alilofanya na Ibrahimu" ( 2 Wafalme 13:23; Zaburi 105; Isaya 29:22; 41:8); Ahadi ya Mungu hutimiza ahadi ya neema (ambayo kwa ufafanuzi ni agano la upande mmoja) mara nyingi hupuuza haki yake ili atekeleze ahadi ya kazi.

Hayo ndiyo maelezo mafupi ya theolojia ya agano na jinsi hutafsiri maandiko kupitia enzi ya agano. Swali ambalo wakati mwingine hujibuka kuhusu theolojia ya agano ni ikiwa au sio kuwa gano la neema huchukua nafasi ya au huyaondoa agano la kazi. Kwa maneno mengine, agano la kikazi halifai/kongwe tangu Agano la Kale ni la kizamani (Waebrania 8:13)? Agano la (Musa) Kale, huku matumizi ya agano la kikazi, sio ya agano la kikazi. Tena, agano la kikazi chanzo chake ni bustani mwa Edeni wakati Mungu aliahidi maisha kwa ajili ya utii na kifo kwa ajili ya uovu. Agano la kikazi kwa zaidi limefafanuliwa katika amri kumi, ambapo tena Mungu anaahidi maisha na baraka kwa ajili ya utii na kifo na adhabu kwa kutotii. Agano la Kale ni zaidi ya sheria ya maadili ambazo zimejumuishwa ndani ya amri kumi. Agano la Kale hujumuisha kwa pamoja sheria na kanuni kuhusu ibada ya Mungu. Pia humuihsa sheria za kiraia ambazo zilitawalataifa la Israeli wakati wa mfumo wa utawala wa makasisi na kifalme. Pamoja na ujio wa Yesu Kristo, Masihi aliyeahidiwa katika Agano la Kale, mambo mengi ya Agano la Kale huwa ya kizamani kwa sababu Yesu alitimiza aina ya Agano la Kale na madaraka (tena angalia Waebrania 8-10). Agano la Kale liliwakilisha "aina na vivuli," huku Kristo akiwakilisha "mwili" (Wakolosai 2:17). Tena, Kristo alikuja kutimiza sheria (Mathayo 5:17). Kama Paulo anavyosema, "Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni ndivyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amina Mungu apate kutukuzwa kwa sisi "(2 Wakorintho 1:20).

Hata hivyo, hii haibadilishi kuwa ahadi ya kazi imejumuishwa katika sheria ya maadili. Mungu alihitaji utakatifu kutoka kwa watu wake katika Agano la Kale (Mambo ya Walawi 11:44) na bado inahitaji utakatifu kutoka kwa watu wake katika Agano Jipya (1 Petro 1:16). Vile vile, sisi bado tunawajibu wa kutimiza masharti ya agano la kikazi. Habari njema ni kwamba Yesu Kristo, Adamu wa mwisho na Mkuu agano letu, kikamilifu alitekeleza mahitaji ya agano la kikazi na kwamba haki hiyo kamili ndio sababu ya Mungu anaweza kupanua agano la neema hadi kwa wateule. Warumi 5:12-21 inaelezea hali mbili za 'shirikisho' kizazi cha binadamu. Adamu anawakilisha jamii ya wanadamu katika bustani mwa Edeni na kushindwa kutekeleza agano la kikizi, na hivyo ikamweka yeye na vizazi vyake katika dhambi na mauti. Yesu Kristo alisimama kama mwakilishi wa mwanadamu, tangia majaribu yake katika jangwa hadi Kalvari, na kikamilifu alitekeleza agano la kikazi. Hii ndiyo sababu Paulo anaweza kusema, "Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa " (1 Wakorintho 15:22).

Kwa kumalizia, Mkataba wa Theolojia watizam maandiko kama onyesho aidha la agano la kikazi au agano la neema. Hadithi nzima ya historia ya ukombozi inaweza kuonekana kuwa Mungu anafunua agano la neema kutoka hatua yake changa (Mwanzo 3:15) njia zote hadi kukuzaa matunda yake katika Kristo. Mkataba wa Theolojia kwa hivyo, ni njia ya kikristo ya kuangalia maandiko kwa sababu unaona Agano la Kale kama ahadi ya Kristo na Agano Jipya kama timizo katika Kristo. Baadhi ya watuhumiwa wa Mkataba wa Theolojia hufundisha kile kinachoitwa " Theolojia Badala" (yaani, Kanisa limechukua nafasi ya Israeli). Hii haiwezi kuwa mbali na ukweli. Tofauti na mgagwo, Mkataba wa Theolojia hauoni tofauti kubwa kati ya Israeli na Kanisa. Israeli ilikuwa ya watu wa Mungu katika Agano la Kale, na Kanisa (ambayo imeundwa na Wayahudi na Mataifa) ina watu wa Mungu katika Agano Jipya; zote tu hufanya kundi moja la watu wa Mungu (Waefeso 2:11-20). Kanisa haijachukua nafasi ya Israeli; Kanisa ni Israeli na Israel ni Kanisa (Wagalatia 6:16). Watu wote ambao wana imani hiyo kama Abrahamu ni sehemu ya watu wa agano la Mungu (Wagalatia 3:25-29).

Mambo mengi zaidi yanaweza kunenwa kuhusu Mkataba wa Theolojia, lakini jambo muhimu la kukumbuka ni kwamba Agano la Theolojia ni fafanuo zingira kwa ajili ya kuelewa maandiko. Kama tulivyoona, sio fafanuo zingira tu ya kusoma maandiko. Mkataba wa Theolojia na mgagwo zina tofauti nyingi, na wakati mwingine husababisha hitimisho kinyume kuhusu mafundisho fulani ya kanuni ya pili, lakini zote mbili huambatana na mahitaji muhimu ya imani ya Kikristo: Wokovu ni kwa neema tu, kupitia imani katika Kristo pekee, na Mungu apewe utukufu!

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Je, ni nini maana ya Mkataba wa Theolojia na ni wa kibiblia?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries