settings icon
share icon

Maswali kuhusu maombi

Ombi la mwenye dhambi ni gani?

Je! Inamaanisha nini kuomba katika jina la Yesu?

Je! Imekubalika kurudi rudia kuomba jambo moja au twastahili kuuliza mara moja?

Kwa nini tuombe? Kuna haja gani ya kuomba wakati Mungu anajua kesho na bado ni yeye anatawala. Ikiwa hatutaweza badilisha mawazo ya Mungu kwa nini tuombe?

Je! Maombi ya pamoja ni muimu? Maombi ya pamoja ni ya nguvu kuliko ya mtu mmoja?

Nitawezaje ili maombi yangu yajibiwe?

Sala ya Bwana ni gani na tunastahili kuiomba?

Ni jinsi gani sala ni ya kuwasiliana na Mungu?

Maombezi ni nini?

Nguvu ya maombi ni nini?

Je ni nini maana ya kuomba bila kukoma?

Kuna uhusiano gani kati ya sala na kufunga?

Ni nini baadhi ya vikwazo kwa maisha ya nguvu kimaombi?

Ni nini maana ya maombi ya kutembea? Je, ni kibiblia kushiriki kwa maombi ya kutembea?

Je ni nini kuomba katika Roho?

Ninawezaje kuwa na uhakika kwamba ninaomba kulingana na mapenzi ya Mungu?

Ni njia gani sahihi ya kuomba?

Sala kimya - ni ya kibiblia

Ni kwa nani tunapaswakuomba kwa Baba, kwa Mwana, au kwa Roho Mtakatifu?

Je, ni ufunguo gani katika ufanisi wa sala?

Je! Kuna ushahidi kwamba Mungu hujibu sala?

Lectio Divina ni nini?

Mbona Saala ya Bwana haina shukrani? Kuna ombi, kuungama, nk lakini hakuna shukrani. Je, sala zote zetu hazipaswi kushukuru?

Sala ya toba ni nini?

Ninawezaje kuwa shujaa wa maombi?

Je! Ni shanga za maombi? Je, ni sawa kutumia shanga wakati unapoomba?

Je, inakubalika" kuvaa ngozi "mbele ya Mungu katika sala?

Sala ya mviringo ni nini? Je, sala ya mviringo ni ya kibiblia?

Sala ya Yabezi ni gani?

Biblia inasema nini kuhusu kuombea wafu?

Biblia inasema nini juu ya kuombea / kuzungumza na wafu?

Sala ya unabii ni nini?

Je! Sala ya umma ni ya Kibiblia? Je, ni sawa kuomba kwa umma?

Je! Sala inayolewesha ni nini?

Je! Ni aina gani tofauti za maombi?

Je! Mkristo anapaswa kujibuje maombi yasiojibiwa?

Kwa nini tunamaliza sala zetu na 'amina'?

Je! Kuna masharti ili sala ijibiwe?

Ni kwa nini maombi ya kila siku ni muhimu?

Je, Mungu hujibu maombi?

Je, Mungu husikia sala zangu?

Je, inakubalika kutumia mishumaa katika sala?

Je! Biblia inasema nini juu ya hali ya kutosali?

Ni nini thamani ya mkutano wa maombi?

Ni aina gani ya sala tunapaswa kuomba kwa wasioamini?

Kwa nini kuombea wengine ni muhimu?

Je, kuomba kwa maandiko kuna ufanisi zaidi kuliko sala nyingine?

Ina maana gani kurudia katika sala?

Je, Biblia inasema nini kuhusu kuinama au kupiga magoti katika maombi?

Je, ninapaswa kufanya nini wakati Mungu anasema la?

Je, maombi yanabadilisha fikra za Mungu?

Maana ya kuombea adui zako ni nini?

Je, ni msingi gani wa kusikia sauti ya Mungu?

Je, imani inaweza kubadilisha mpango wa Mungu?

Je, inamaanisha nini kuomba mkate wetu wa kila siku?

Je, kuna umuhimu na thamani gani ya maombi ya kikundi?

Je, jina lako litukuzwe katika Sala ya Bwana inamaanisha nini?

Je, ni kwa nini Yesu anatuagiza tuombe ‘usitutie majaribuni’ wakati Mungu anaposema kwamba hatujaribu?

Je, Biblia inasema tuombe kwa ajili ya amani ya Yerusalemu?

Ni kwa nini tunaomba kabla ya kula chakula?

Biblia inasema nini kuhusu kuombea wagonjwa?

Je, maombi ya imani ni nini?

Tunaweza kujifunza nini kutokana na maombi ambayo Yesu aliomba?

Je, kunayo msingi wowote wa kimaandiko wa kuombea ambao hawajaokoka?

Ikiwa Yesu aliwakashifu Mafarisayo kwa kuomba kwa sauti, je! tunapaswa kuomba kwa sauti?

Je! Ninawezaje kuacha kuwa na woga katika kuomba hadharani?

Kusudi la maombi ni gani?

Je, wale watu wanaodai kuwa wanazungumza na Mungu ni wenda wazimu?

Inamaanisha nini kuomba, “Mapenzi yako yatimizwe”?

Je, inamaanisha nini kukesha na kuomba?

Maombi ni nini?



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Maswali kuhusu maombi
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries